Enter your keyword

Culture for Life.

Saturday, December 10, 2016

MIKOBA YA VITENGE NA UBORA WAKE.

Picha ya baadhi ya wallet zilizotengenezwa kwa vitenge,Kitenge ni vazi ambalo humpendeza mtu yeyote bila kujali uraia wake .


Mabegi haya ya mgongoni huweza kutumika na wanafunzi kuanzia msingi hadi chuo kikuu katika taifa letu na ikasaidia kuinua kipat cha mtanzania endapo tutaacha kasumba ya kupenda vitu kutoka n'je na kuthamini vitu tunavyotengeneza wenyewe nchini.


Mikoba hii huweza kutumika wakati wa shopping ukiwa umeweka vitu vidogovidogo kama mwanamke na ukapendeza zaidi kuliko kubeba mikoba ambayo iko common.


Huu mkoba umetengenezwa kwa kutumia vipande tofauti vya vitenge ambayo vimeufanya mkoba huu kuonekana wakipekee zaidi.





Wallet ya mtoko,valia nguo ya rangi moja kati ya rangi zilizopo hapo katika kitenge.


Mkoba wa kompyuta  bebe{Pocket laptop}


Mkoba huu ulikuwa wa rangi moja ila umenakishiwa na kipande cha kitenge.


 Mikoba hii mitatu ina  maumbo yanayo- karibiana,yote huweza kutumika  pale unapotoka kwenda sehemu,mf.sehemu ya sherehe,unaweza kutumia mikoba hii kuweka vitu vyako na ukapendeza na kuonekana mwanamke nadhifu.



No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu