Enter your keyword

Culture for Life.

Sunday, December 11, 2016

DALILI ZA NDOA ILIYOKUFA.

Kuna mambo mengi ambayo hupelekea ndoa kufa,leo nitazungumzia dalili chache zinazo onyesha ndoa kuelekea kufa.

Alichokipanga Mungu  mwanadamu si rahisi kupangua.


  1.  Wanandoa wanaposhindwa kutatua migogoro yao wenyewe. 
  2. Mwanandoa anapodhani anaweza kuishi mwenyewe bila mwenza wake.
  3. Wanandoa wanapoona kuwa watoto ndiyo sababu pekee inayowafanya kuendelea kuwa katika ndoa.
  4. Wanandoa wanapoanza kuogombana ndani ya ndoa,yaani kila mmoja anahofu kujadiliana na mwenzi wake masuala yanayo wahusu.
  5. Pale  mwanandoa unapogundua kuwa ndani ya ndoa kuna mambo mengi mabaya yanayofanyika kuliko mazuri.
  6. Wakati mwingine unaona mwenzi wako hakushirikishi masuala muhimu mpaka hatua ya mwisho unapogundua mwenyewe.
  7. Kugombana kwa suala moja kila wakati.
  8. Wakati mwingine mmoja wenu au wote mnapokosa hamu ya tendo la ndoa.
  9. Kupata uzito katika mawasiliano unapotaka kuwasiliana na mwenzi wako.Mume au Mke.
  10. Heshima aliyokuwa anakupa mke/mme mbele za watu inapopungua.Kama yote haya yatafanyika kinyume kwa kuyaweka katika hali yenye faida basi ndoa inaweza kudumu zaidi.Usisite kutoa maoni yako hapo chini kama umevutiwa na makala hii.

No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu