Enter your keyword

Culture for Life.

Friday, December 30, 2016

Mitindo 40 ya Vitenge Itakayo endelea kushika chati Mwaka 2017


African Print Jacket,Unaweza kuvaa wakati wa baridi,Jacket kama hili unaweza kulivaa na kuachia vifungo wazi bila kufunga na ukawa na muonekano tofauti yani two in one. # Africanfashion # Fashionblogger

 

African Print Solo Jacket

African Print coat and Dress.Special for church or official wear.

Nimempenda huyu dada balaa,Ukijijulia mwili wako yaani lazima hupendeze tu,Kazi  kwao wanaosema mwili wangu siwezi kuvaa hivi au vile,pambana na hali yako.








 Kitenge Jumpsuit two in one,Unaweza kutoa hilo koti la juu na ukavaa location ya kawaida bila koti.













 Sara Issa ndani ya Makenzi,ni kitenge ambacho kinavaliwa kila mwaka hakipitwi na wakati hivyo hata mwaka 2017 bado kitakuwa katika chati wewe tu kuchagua mtindo bomba unaokufaa # fashionista.







No comments:

Post a Comment

3 Bora Zangu

Inayotazamwa Sana

Jinsi Ya Kuufanikisha Mwaka 2017

Mpenzi msomaji wa Makala zangu kwanza kabisa nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaofuatilia Blog yangu,Naomba niwatakie heri ya Mwaka Mpya...

Watazamaji Wangu